Wednesday, February 13, 2013

UJENZI WA BARABARA YA SONGEA-TUNDURU WAENDELEA KWA KASI

    Ujenzi wa barabara ya km 317.8 kwa kiwango cha  lami kutoka Songea hadi Tunduru umeshatinga Namtumbo mjini. Sasa maisha tambalale kwa wakwe, undendeule. Kazi imefikia zaidi ya asilimia 80, na vijana wanaendelea kupiga box.
  Namtumbo sasa ni mkeka mtupu
 Vijana kibao wa huku wamenufaika kwa ajira ya ujenzi wa barabara hii muhimu ambayo ujenzi wake ulisimama kwa muda baada ya kampuni ya kandarasi ya Ujenzi ya Progressive ya India kushindwa na kutimuliwa na kupatikana mkandarasi mwingine. Picha na mdau Gerson Msigwa

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger