Monday, July 22, 2013

Majeruhi 17 wa shambulio la Darfur waendelea vyema na matibabu

Baadhi ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa walioshambuliwa Julai 13, 2013 wakiwa katika hospitali ya UNAMID huko Nyala, Kusini mwa Darfur.


Wakuu wa UNAMID Darfur wakimpa pole mmoja wa askari mwanamke aliyejeruhiwa
Picha na UNAMID

Baadhi ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa walioshambuliwa Julai 13, 2013 wakiwa katika hospitali ya UNAMID huko Nyala, Kusini mwa Darfur. Katika shambulio hilo askari saba wa Tanzania walipoteza maisha. Hawa ni miongoni mwa askari 17 waliojeruhiwa katika shambulio hilo, wakiwemo askari wanawake wawili ambao ni washauri wa Polisi. Kwa mujibu wa habari kutoka hospitalini hapo, hali za majeruhi zinaendelea vyema
Picha na UNAMID

Gari walilokuwa wakisafiria askari hao wakati wa shambulio
Picha na UNAMID

Baadhi ya majeruhi wakiwa hospitalini
Picha na UNAMID

Baadhi ya sakari wa kulinda amani kutoka Tanzania wakiwa Darfur
Picha na UNAMID

Gari lililoshambuliwa
Picha na UNAMID

Mmoja wa majeruhi akiwa hospitali
Picha na UNAMID

Wakuu wa UNAMID Darfur wakimpa pole mmoja wa askari mwanamke aliyejeruhiwa
Picha na UNAMID

Gari lililoshambuliwa.
Picha na UNAMID

1 comment:

  1. kazi nzuri sana imependeza kwa kiwango cha hali ya juu safi sana mh mwenezi wa jiji la arusha mjini

    ReplyDelete

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger