Friday, May 24, 2013

PICHA KATIKA MSIBA MZITO WA MWENYEKITI MSTAAFU WA CCM WILAYA YA ARUSHA


Kitabu cha maombolezo ya msiba wa marehemu Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Wilaya ya Arusha 
Mzee Jubilathe Shiletiko Kileo nyumbani kwake Kaloleni

Meneja wa Benki CRDB Tawi la New Safari Hotel- Arusha, akimfariji ndugu mmojawapo  wa marehemu Mzee Jubilathe Shiletiko Kileo ,Mzee Maresi  wakati alipofika kuhani msiba huo wa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Wilaya ya Arusha, aliyefariki  20 Mei,2013 jijini Arusha. Marehemu Jubilathe Shiletiko Kileo  anazikwa kesho  25 Mei 2013 nyumbani kwake Kijijini Machame, Hai.
Mmoja kati ya watoto wa marehemu (aliyevaa jaket) akiteta jambo na mmoja wa wanakamati wa maandalizi ya msiba huo.

Baadhi ya watu wa rika mbali mbali waliohudhuria shughuli za msiba huo ,kusoto ni Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Arusha Ndg Musa Mkanga.
Maadalizi ya kuelekea Machame
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Martin Munisi.akiwa ameongozana Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Arusha Ndg Musa Mkanga.
Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Arusha Ndg Musa Mkanga,akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa marehemu Mzee Jubilathe Shiletiko Kileo
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Martin Munisi,akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa marehemu Mzee Jubilathe Shiletiko Kileo
Mkuu wa Mkoa mstaafu Mzee Babu aiwasili nyumbani kwa marehemu Kaloleni Arusha kuhani msiba huo, akisalimiana na Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Arusha Ndg Musa Mkanga,leo
 Mkuu wa Mkoa mstaafu Mzee Babu aiwasili nyumbani kwa marehemu Kaloleni Arusha kuhani msiba huo, akisalimiana na Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Kata ya Kaloleni, Ndg Nyanda.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger