Thursday, June 20, 2013

MSIBA MZITO WA KUSIKITISHA MOSHI - KAMANDA WA CCM

  • WAOMBOLEZAJI

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Viongozi wa CCM (w) Ar.

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Watoto wa Marehemu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Waombolezaji

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Waombolezaji

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Familia ya Marehemu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Watoto wa Marehemu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Marehemu Bibi Ngewa M.Nega

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM

    Ndg.Godfrey Mwalusamba
  • Marehemu John Chacha Nega

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Picha ya Marehemu John Chacha Nega

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Viongozi wa CCM (w) Arusha

    Katibu wa CCM (w) Arusha - Ndg. A.Kingazi,Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM-MNEc Ndg.Godfrey Mwalusamba) na Katibu wa Fedha na Uchumi CCM (w) Arusha-Ndg Victor Mollel na Katibu wa Siasa na Uenezi (w) ar. Ndg. Jasper Kishumbua (hayupo pichani)
  • Kaimu Katibu UVCCM – CCM (w) Arusha

    Ndg Masudi
  • Wakati wa Ibada

    Jeneza la Mama na Mtoto
  • Mfanyabiashara Maarufu mjini Moshi

    Mzee Mushisa
  • Baadhi ya Wanafamilia

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Baadhi ya Wanafamilia

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Baadhi ya Wanafamilia

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Baadhi ya Wanafamilia

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Waombolezaji Wakitoa heshima za mwisho

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Waombolezaji Wakitoa heshima za mwisho

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Familia kwenye picha ya pamoja

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Baadhi ya wanafamilia wakichukua picha ya kumbukumbu

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Marafiki mbalimbali

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Picha za kumbukumbu

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Wajukuu wa Marehemu

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Watoto wa Marehemu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Ndg wa karibu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Mke wa Marehemu na baadhi ya watoto

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Mke wa Marehemu na baadhi ya watoto

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Marafiki wa Marehemu toka Nairobi

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Baadhi ya Waombolezaji

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Makao ya mwisho ya Wapendwa wetu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Safari ya kuelekea Makaburini

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Safari ya kuelekea Makaburini

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Safari ya kuelekea Makaburini

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Majeneza yakishushwa makaburini

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Majeneza yakishushwa makaburini

    MSIBA WA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Majeneza yakishushwa makaburini

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Kamanda Mboya akielekeza utaratibu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Tayari kwa mazishi

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Ibada ya Mazishi ikiendelea

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Wanafamilia kwenye picha ya pamoja baada maziko

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Wanafamilia kwenye picha ya pamoja baada maziko

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Wanafamilia kwenye picha ya pamoja baada maziko

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Wanafamilia kwenye picha ya pamoja baada maziko

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Kamanda akisoma historian a wasifu wa marehemu

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Wasifu wa Marehemu

    Kamanda Mboya
  • Waombolezaji

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Katibu wa CCM Wilaya Arusha akitoa rambirambi

    Ndg A.Kingazi kwa niaba ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya - Arusha
  • Picha ya Mzee John Chacha wakati wa Uhai wake

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Kila aina ya usafiri ulitumika

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Kila aina ya usafiri ulitumika

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013
  • Safari ya kurudi Arusha

    MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013

 MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM (TAIFA) NDG GODFREY MWALUSAMBA AKITOA HESHIMA ZA MWISHO KUHUSIANA NA KIFO CHA MZEE JOHN CHACHA NEGA KILICHOTOKEA Juni 14,2013 na BIBI NGEWA M. NEGA (aliyefariki Juni 15,2013 mara baada ya kupata taarifa za kifo mwanae Mzee John C. Nega ya kuwa amefariki) wote wamezikwa Mabogini, Moshi Juni 18,2013. PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 PICHA YA MZEE  JOHN CHACHA NEGA ALIYAFARIKI Juni 14,2013  NA KUZIKWA Mabogini, Moshi Juni 18,2013.
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
KAMANDA MBOYA AKISOMA HISTORIA FUPI YA MAREHEMU MZEE  JOHN CHACHA NEGA NA BIBI NGEWA M. NEGA WOTE WAMEZIKWA KIJIJINI KWA MABOGINI,MOSHI Juni 18,2013
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 
 
 
 
 WAOMBOLEZAJI NDUGU ,JAMAA NA MAJIRANI WAKISHINDWA KUJIZUIA KULIA NA WENGINE KUZIMIA KATIKA MSIBA MZITO WA FAMILIA HIYO KATIKA KIJIJI CHA MABOGINI , MOSHI Juni 18,2013
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 MWILI WA BIBI NGEWA M. NEGA ALIYEZALIWA Machi 3,1910 SIRARI , TARIME MKJOANI MARA NA KUFARIKI Juni 15,2013 MARA BAADA YA KUPATA TAARIFA ZA KIFO CHA MWANAE MZEE JOHN CHACHA NEGA ALIYAFIKI Juni 14,2013 NA KUZIKWA KATIKA KIJIJI CHA MABOGINI , MOSHI Juni 18,2013
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
  MWILI WA JOHN CHACHA NEGA  ALIYEZALIWA 1947  NA KUFARIKI Juni 14,2013 KUTOKANA NA KUSUMBULIWA NA MARADHI SHINIKIZO LA DAMU NA SUKARI NA KUZIKWA KATIKA KIJIJI CHA MABOGINI , MOSHI Juni 18,2013
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
KUSHOTO NI KATIBU WA CCM WILAYA YA ARUSHA NDG KINGAZI, MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM (TAIFA) NDG GODFREY MWALUSAMBA ,KATIBU WA FEDHA NA UCHUMI CCM WILAYA YA ARUSHA NDG VICTOR MOLLEL NA KATIBU WA SIASA NA UENEZI  CCM WILAYA YA ARUSHA NDG JASPER KISHUMBUA (hayupo pichani) NAO WALIKUWA NI MIONGONI MWA WAOMBOLEZAJI KUFUATIA  KIFO CHA MZEE JOHN CHACHA NEGA KILICHOTOKEA Juni 14,2013 na BIBI NGEWA M. NEGA (aliyefariki Juni 15,2013 mara baada ya kupata taarifa za kifo mwanae Mzee John C. Nega ya kuwa amefariki) wote wamezikwa Mabogini, Moshi Juni 18,2013.
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 KAIMU KATIBU WA UVCCM WILAYA YA ARUSHA NDG MASUDI NAYE ALISHIRIKI KATIKA MSIBA MZITO HUO ULIOFANYIKA Mabogini, Moshi Juni 18,2013.
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 
 
 NDUGU, WATOTO,WAJUKUU NA MKW WA MAREHEMU KWENYE PICHA YA PAMOJA Mabogini, Moshi Juni 18,2013.
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 
 
  NDUGU, WATOTO,WAJUKUU NA MKW WA MAREHEMU KWENYE PICHA YA PAMOJA Mabogini, Moshi Juni 18,2013. PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
WAGENI KUTOKA NAIROBI ,KENYA NAO WALIKUWA NI MIONGONI MWA WAOMBOLEZAJI KATIKA NAZISHI YALIYOFANYIKA  Mabogini, Moshi Juni 18,2013. PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 
 
 
 
 HAYA NDIYO MAKABURI WATAKAPOZIKWA MAREHEMU MZEE  JOHN CHACHA NEGA NA BIBI NGEWA M. NEGA  MABOGINI,MOSHI Juni 18,2013PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 
 MSAFARA UKIELEKEA MAKABURINI KUWALAZA WAZEE WETU
PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 SAFARI YA MWISHO KWA MZEE JOHN CHACHA NEGA ALIYEFARIKI Juni 14,2013 na BIBI NGEWA M. NEGA (aliyefariki Juni 15,2013 mara baada ya kupata taarifa za kifo mwanae Mzee John C. Nega ya kuwa amefariki) wote wamezikwa Mabogini, Moshi Juni 18,2013.PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
 
 
 HAPA NDIPO WALIPOLAZWA MZEE JOHN CHACHA NEGA ALIYEFARIKI Juni 14,2013 na BIBI NGEWA M. NEGA (aliyefariki Juni 15,2013 mara baada ya kupata taarifa za kifo mwanae Mzee John C. Nega ya kuwa amefariki) wote wamezikwa Mabogini, Moshi Juni 18,2013.PICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha
KATIBU WA CCM WILAYA YA ARUSHA AKITOA RAMBIRAMBI KWA NIABA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA ARUSHA NDG A.KINGAZIPICHA na Katibu Mwenezi na Siasa CCM Wilaya - Arusha

Marehemu MZEE JOHN CHACHA NEGAameaacha Mke, Watoto 8 na Wajukuu 6.Mungu ailaze roho yake pema peponi.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger