Wednesday, February 20, 2013

BALOZI WA NIGERIA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA SEMENTI CHA DANGOTE MKOANI MTWARA

   Balozi wa Nigeria hapa nchini Dr Ishaya Majanbu mweyekofia nyekundu
akiwa anapata maelezo kutoka kwa meneja wa mradi wa ujenzi wa Dangote
Sementi Mkoani Mtwara Eng D Musale  ya kuhusu maendeleo ya ujenzi wa
kiwanda cha semeti cha Dangote kinacho jengwa Mkoani Mtwara Balozi huyo
ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi huo alipotembelea mkoani mtwara.
picha na Chris Mfinanga.
 
   Balozi akiwa ana angalia badhi ya vifaa vilinavyo tumika katika mradi wa
ujenzi wa kiwanda hicho cha sementi kunacho jengwa na kampuni ya
Dangote.
 
 Balozi wa Nigeria hapa nchini Dr Ishaya Majanbu akiwa katika soko la
Mtwara akiangalia mchele bidha mbalimbali zinazo patikana katika soko
hilo wafanya biashara wasoko hilo walipata muda wa kumsomea tarifa yao
ya kumuomba amfikishie mkrugenzi mkuu wa Dangote ili aweze kuwasidia
kulifanya soko hilo liwe la kisasa.
 
 Balozi akiwa katika picha ya pamoja na wafanya biashara wa soko la mtwara.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger