Wednesday, February 20, 2013

RAIS MWAI KIBAKI WA KENYA YUPO NCHINI KWA ZIARA YA SIKU MBILI

by Pamela Mollel
Mwai kibaki wa Kenya akikaribishwa  kwa maua na Mwanafunzi Tazmina Rasul(6) muda mfupi baada ya
kuwasili nchini kwa ziara ya kiserikali (State Visit) ya siku mbili huku
mwenyeji wake Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiangalia. (Picha na Freddy Maro).
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Mwai Kibaki wa Kenya muda mfupi
baaada ya kuwasili katika uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kwa
ziara ya kiserikali (State Visit) ya siku mbili

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger