Sunday, February 17, 2013

MAMA SALMA KIKWETE AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI LINDI

 
Mjumbe wa NEC, Mama Salma Kikwete akikagua bidhaa za wajasiriamali, alipotembelea eneo la Raha Leo, Lindi mjini leo Februari 17, 2013. akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarisha uhai wa chama mkoani Lindi.
 
Mjumbe wa NEC, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimsalimia mkazi wa Raha Leo Lindi mjini, Bella Linje, aliyekuwa kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika katika eneo hilo, leo, Februari 17, 2013.
 
 
Mjumbe wa NEC, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika Kata ya Raha Leo,Lindi mjini.
 
Wanachama wapya wa CCM wakila kiapo baada ya kukabishiwa kadi zao na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Mama Salma Kikwete, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo FEB 17, 2013 katika Kata ya Raha Leo Lindi mjini.
 
 
 
Baadhi ya wakazi wa kata ya Raha Leo mjini Lindi wakiuliza maswali mbali mbali kwa Mjumbe wa NEC, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete kwenye mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger