Sunday, April 28, 2013

TASWIRA MBALIMBALI ZA SHEREHE ZA MIAKA 49 ya MUUNGANO UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM


Sherehe za Muungano Jijini Beijing, China

Keki ya maandimisho ya miaka 49 ya Muungano wa Tanzania

Sherehe za Muungano Jijini Beijing, China

Balozi Philip Marmo akiteta jambo na mmoja wa wageni walialikwa kwenye sherehe hiyo.

Sherehe za Muungano Jijini Beijing, China

Wanakikundi cha Ngoma toka Tanzania Sisi Tambala wakitumbuiza kwa wimbo wao maarufu wa 'Katope' kwenye sherehe ya Muungaano.

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Rais Dk. Jakaya Kikwete akiwapungia mamia ya wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Rais Dk. Jakaya Kikwete akikagua gwaride la heshima

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

WAASISI WA MUUNGANO MZEE KARUME NA MWALIMU NYERERE

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

WAASISI WA MUUNGANO MZEE KARUME NA MWALIMU NYERERE

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

BARAZA LA MAWAZIRI LA KWANZA BAADA YA MUUNGANO 1964

MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

DESCRIPTION GOES HERE

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE NA MZEE ABEDI AMANI KARUME

MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE NA MZEE ABEDI AMANI KARUME

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam leo kuongoza Watanzania kusherehekea miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

WAASISI WA UHURU-1960

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere , Rais wa Cuba- Fidel Alejandro Castro Ruz, Rais wa Zaire- Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Za Banga na Rais wa Zambia Dkt Kenneth David Kaunda

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Msafara wa Rais Kikwete ukizunguka uwanja wa Uhuru

SHEREHE ZA SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Msafara wa Rais Kikwete ukizunguka uwanja wa Uhuru

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

DESCRIPTION GOES HERE

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger