Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahaman Kinana akizungumza na wananchi wa Ruaha wilaya ya Kilosa.
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha na kuwashukuru kufanikisha uchaguzi wa wajumbe wa mabaraza ya katiba.
Dk.Mohamed Seif Khatib akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa ,Kata ya Ruaha ambapo aligusia umuhimu wa Muungano.,
Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro akihutubia wananchi wa Ruaha wilaya wa Kilosa.
Mwenyekiti wa CCM wilaya wa Kilosa Ndg Nassoro Udelele akijibu swala la wahanga wa ardhi katika wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha.
Mshairi maarufu wa Morogoro,,Ndugu Maulid Chambilila akighani wakati wa mkutano wa hadhara uiofanyika kata ya Ruaha,wilaya ya Kilosa.
Monday, April 15, 2013
MKUTANO WA CCM KILOSA WAFANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment