skip to main  |
      skip to sidebar
          
        
          
        
MKUTANO WA CCM KILOSA WAFANA 
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahaman Kinana  akizungumza na wananchi wa Ruaha wilaya ya Kilosa.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahaman Kinana  akizungumza na wananchi wa Ruaha wilaya ya Kilosa.
 Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha na kuwashukuru kufanikisha uchaguzi wa wajumbe wa mabaraza ya katiba.
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha na kuwashukuru kufanikisha uchaguzi wa wajumbe wa mabaraza ya katiba.
 Dk.Mohamed Seif Khatib akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa ,Kata ya Ruaha ambapo aligusia umuhimu wa Muungano.,
Dk.Mohamed Seif Khatib akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa ,Kata ya Ruaha ambapo aligusia umuhimu wa Muungano.,
 Katibu wa CCM Mkoa  wa Morogoro akihutubia wananchi wa  Ruaha wilaya wa Kilosa.
Katibu wa CCM Mkoa  wa Morogoro akihutubia wananchi wa  Ruaha wilaya wa Kilosa.
 Mwenyekiti wa  CCM wilaya wa Kilosa Ndg Nassoro Udelele akijibu swala la wahanga wa ardhi katika wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha.
Mwenyekiti wa  CCM wilaya wa Kilosa Ndg Nassoro Udelele akijibu swala la wahanga wa ardhi katika wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha.
 Mshairi maarufu wa Morogoro,,Ndugu Maulid Chambilila akighani wakati wa mkutano wa hadhara uiofanyika kata ya Ruaha,wilaya ya Kilosa.
Mshairi maarufu wa Morogoro,,Ndugu Maulid Chambilila akighani wakati wa mkutano wa hadhara uiofanyika kata ya Ruaha,wilaya ya Kilosa.
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment