Tuesday, May 21, 2013

MGOMBEA UDIWANI KATA YA KIMANDOLU ARUDISHA FOMU


Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi  CCM Ndg Edna J.Sauli,akiwasilisha fomu kwa Afisa Mtendaji wa Kata ya Kimandolu Ndg Kikingo. Nyuma yake ,aliyevaa kofia ya CCM ni Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Kimandolu Ndg Stephen M. Mollel na Mbele yake aliyevaa  kofia nyeupe ni Ndg Omari Hussein Katibu wa Siasa na  Uenezi wa CCM Tawi la Kijenge  Kusini .

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger