Tuesday, May 21, 2013

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM CHAFANYIKA- DODOMA

Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk.Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe, wakati wa Kikao Cha Kamati Kuu (CC) ya CCM, kilichofanyika leo May 21, 2013, kwenye ukumbi wa Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.




https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLheq_U_eqYWQlhr9j0VkAIBzZY6fweStr5ZSLgvFAotdLPhIY1IZzAYHekQ_e-sljkHzsIWUdu1seIM7eXMONJOP7g0xHhqfysap92pnKj3ePCPBdcqBo_bg9PRqqGjSBgOK1jMKNQInp/s1600/3.jpg
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk.Jakaya Kikwete kufungua kikao cha Kamati Kuu (CC) ya CCM, leo Mei 21, 2013, kwenye ukumbi wa Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Dk. Ali Mohamed Shein na Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_BpKYfhglE_vYArTT0sv7RTlUycT88m2_3BHOeg8095A11Ww9qKxBL1lZhuqkBHvhnPHx77RvH-qqnMQU-oeZOlqIB31Jcnn7JPAAhV0xImRcwc4vi4J6OuWsNEfLoAIq_K11gtGL3b26/s1600/2.jpg
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk.Jakaya Kikwete na wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, wakiwa mkutano wa Kamati hiyo, leo Mei 21, 2013, kwenye ukumbi wa Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Picha na Bashir Nkoromo.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger