Tuesday, June 18, 2013

CHADEMA - ARUSHA ,UTII WA SHERIA BILA SHURUTI

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limelazika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa chadema katika viwanja vya Soweto na maeneo ya Mianzini ,Kaloleni baada ya kukaidi kutii amri halali iliyowataka kuacha kutumia eneo la Makazi ya wapangaji wa AICC katika viwanja vya Soweto ,licha uongozi wa shirika hilo kuwataka kuwa wasifanyie Mkutano wao hapo. 

Wakazi wa nyumba hizo wamekuwa wanaishi katika mazingira magumu ikiwa ni pamoja na kuogopa kutoka ndani kwa kuhofia maisha yao na usalama wa familia na mali zao. 


DSCF9335
DSCF9339
DSCF9325
Kasha za bomu zilizorushwa na askari polisi kuwatawanya wafuasi wa chadema katika eneo 
la sheli ya njake mianzini .

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger