Thursday, June 20, 2013

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA Alhamis,Juni 20,2013




 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma - Juni 20,2013.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Kuteuliwa, Joseph Mbatia, Bungeni Mjini Dodoma Juni  20,2013.

Wabunge wa CUF wakimsindikiza Yussuf Salim Hussein (wa pili kushoto) mara baada ya kula kiapo cha kuwa Mbunge, Bungeni Mjini Dodoma Juni 20,2013.


Yussuf Salim Hussein wa CUF akiapa kuwa mbunge Bungeni Mjini Dodoma Juni 20,2013.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 20, 2013.

 
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Wageni wa Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya kutoka Kata ya Silambo waliomtembelea Bunge, Ofisini kwake, BungeniMjini Dodoma Juni20, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).Pia kwa hisani ya MICHUZI

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger