Sunday, June 30, 2013

SPIKA WA BUNGE LA OMAN NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA HIFADHI YA NGORONGORO

TANZANIA NATIONAL PARKS AS SEEN

ON SATURDAY June 30,2013 image
Naibu Waziri wa MaliasiLl na Utalii Mhe. Lazaro Nyarandu wakiteta jambo na Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheihk Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maalawi kabla ya kuanza kutembelea Hifadhi ya Ngorongoro

Mhe. Nyalandu akimuongoza Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheihk Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maalawi kuingia lango kuu la Hifadhi ya Ngorongoro
image

Naibu Waziri wa MaliasiLi na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akiongea na waandishi kuhusu ugeni wa Bunge la Oman uliongozwa na Spika wa Bunge lao Mhe. Sheihk Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maalawi (kushoto) kutembelea Hifadhi ya Ngorongoro
image
Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheihk Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maalawi akisaini kitabu cha wageni katika Hifadhi ya Ngorongo. kulia ni Naibu Spika Mhe. Job Ndugai.
image
Mhe. Nyalandu akimpatia mgeni zawadi.
image
Msafara wa Magari yaliobeba ugeni huo kutoka Bunge la Oman ukiwa Ngorongoro.
image
Mhe. Spika wa Oman akiangalia wanyama Mbugani.
image
PUNDAMILIA - ZEBRA
image
NYATI - BUFFALO
image
KIBOKO - HIPOPOTAMUS
image
MBUNI - OSTRICH
image
SIMBA - KING OF JUNGLE THE LION
image
SIMBA
image
TEMBO - ELEPHANT

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger