"Mganga na Upwa Hali Wali Mkavu"
Mwenyekiti wa UVCCM Longido atua Ofisi za UVCCM Mkoani Arusha.Wahenga walisema "Mganga na Upwa , hali wali Mkavu" hapa ndivyo inavyoonekana kwa kijana huyu ambaye ameamua kutafuta wateja mahali walipo, na kujipatia riziki yake , katika maeneo ya Ofisi za UVCCM mkoani Arusha , katika Kata ya Kaloleni.
Jiji la Arusha litaendelea kuwafumbia macho Wafanyabiashara wanaokiuka maadili na kuamua kupanga bidhaa zao kwenye maeneo ya WAPITA KWA MIGUU mpaka lini ?
No comments:
Post a Comment