Monday, July 22, 2013
HESHIMA ZA MWISHO ZATOLEWA KWA MIILI YA ASKARI 7 WALIOFARIKI HUKO DARFUR,SUDANI
clip_image002Rais Jakaya Kikwete, mkewe Mama Salma, wakitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati Rais na viobgozi wengine walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati Makamu na viobgozi wengine walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwafariji wafiwa baada ya kutoa heshima za mwisho kwa miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd, akiwafariji wafiwa baada ya kutoa heshima za mwisho kwa miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Regnard Mengi, akiwa na baadhi ya viongozi, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Majeneza yenye miili ya Askari wa kulinda Amani, wa jeshi la Ulinzi la Tanzania, waliokufa huko Darfur Julai 13, 2013, wakati wa zoezi la kuagwa miili hiyo lililofanyika leo kwenye Uwanja wa Wizara ya Ulinzi, Upanga jijini Dar.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Rais Jakaya Kikwete, Makamu wake, Dkt. Bilal, na viongozi wengine wakiwa katika shughuli hiyo ya kuagwa miili ya askari hao leo kwenye Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga Dar es Salaam.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, John Nchimbi akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, wakati wakiwa katika shughuli hiyo ya kuaga miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla. Kulia ni Katibu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.




Baadhi ya wafiwa wakiwa na huzuni huku wengine wakilia kwa uchungu wakati wa kuagwa miili hiyo.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Baadhi ya wafiwa wakiwa na huzuni huku wengine wakilia kwa uchungu wakati wa kuagwa miili hiyo.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.

Baadhi ya Askari pia wakiwa na nyuso za huzuni.
PICHA NA OMR.
PICHA NA OMR.
Labels:
HABARI ZA KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
http://way2bloggertemplates.com/
==========================================================================
Judul/Heading
-------------------- Put your code here -------------------------
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
More Article »
Judul/Heading
-------------------- Put your code here -------------------------
More Article »
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
More Article »
SUBSCRIBE ME
SIDE TABBER
Recent Post
Popular post
-
Boeing 777 crashes at San Francisco International Airport By Greg Botelho and Mike M. Ahlers, CNN A photo shared on Twitter by one of...
-
WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013 Viongozi wa CCM (w) Ar. MAZISHI YA MZEE...
-
Heavy rainfall flooded the Himalayan regions of India and Nepal, killing more than 600 people and forcing thousands to flee their homes. ...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Februari 14, 2013 ameungana na mamia kwa mamia...
-
U.S. President Barack Obama paid tribute to anti-apartheid hero Nelson Mandela as he flew to South Africa on Friday but played down expect...
-
Morsy under house arrest, Muslim Brotherhood spokesman says Egypt's top military leader announces Wednesday night that President ...
-
Obama in Africa: the view from Senegal- Senegal Rejects Obama's Push for Gay Rights. Senegal Wakataa sera za USHOGA. U.S. Pres...
-
Nelson Mandela's health 'improving' on 95th birthday - video Well-wishers in South Africa gather to wish Nelson Mandela happy...
-
Mashahidi 2 wajiondoka kwa kesi ya Kenyatta Kiongozi wa mashtaka katika mahakama ya kimataifa ya ICC Fatou Bensouda, amesema kuwa mashahi...
-
WANACHAMA wa chama cha mapinduzi Kata ya mipingo Kijiji cha Matapwa wilaya Lindi Jimbo la mchinga wakicheza kwa furaha baada kuwapokea wa...
Labels
- CCM (3)
- HABARI ZA KIMATAIFA (23)
- HABARI ZA KITAIFA (58)
- HABARI ZA MICHEZO (10)
- KITAIFA (1)
Trending 2
LinkWithin 1
Support :
Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
No comments:
Post a Comment