MNEC WA ARUSHA NA MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA ARUSHA USO KWA USO
WACHEZAJI COASTAL YA TANGA
JIJINI ARUSHA LEO
Kushoto ; Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Dr. W.Soileli, Mchezaji wa timu ya Coastal kutoka Tanga (katikati mwenye t-shirt nyekundu) na MNEC wa CCM Wilaya Ya Arusha Ndg G. Mwalusamba wakipata futari katika Mgahawa maarufu ujulikanao kama Mapinduzi Jijini Arusha leo Julai 10,2013
Photo by Katibu wa Siasa na Uenezi CCM (W)Arusha
Wachezaji wa Timu ya Coastal kutoka Tanga wanaoshiriki kombe la Rolling Stone Jijini Arusha wakipata futari katika Mgahawa maarufu ujulikanao kama Mapinduzi Jijini Arusha leo Julai 10,2013
Photo by Katibu wa Siasa na Uenezi CCM (W)Arusha
Wachezaji wa Timu ya Coastal kutoka Tanga (kushoto) Amadi Juma mchezaji nambari (2) akiwa na Yusufu Chuma mchezaji nambari (4) wanaoshiriki kombe la Rolling Stone Jijini Arusha wakipata futari katika Mgahawa maarufu ujulikanao kama Mapinduzi Jijini Arusha leo Julai 10,2013
Photo by Katibu wa Siasa na Uenezi CCM (W)Arusha
No comments:
Post a Comment