Kutana na Katibu wa CCM Wilaya ya Arumeru na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha
Kutoka kushoto ni Katibu wa CCM Wilaya Arumeru Ndg Fredrick Sabuni,Mwenyekiti wa UVCCM (CCM) Wilaya ya Arumeru Ndg Boniface,Ndg Maiko Lovoi na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Martin Munisi wakiwa Makao Makuu ya CCM Mkoa wa Arusha Julai 09,2013 Photo by Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha
Kutoka kushoto ni Katibu wa CCM Wilaya Arumeru Ndg Fredrick Sabuni,Kada wa CCM na Mwanasheria wa kujitegemea na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Martin Munisi wakiwa Makao Makuu ya CCM Mkoa wa Arusha Julai 09,2013 Photo by Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha
No comments:
Post a Comment