Friday, July 26, 2013

RAIS KIKWETE AKIWA WILAYANI MULEBA

Rais Jakaya Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji Wilayani Muleba pia atembelea kuona mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Wilayani Muleba.


Rais Kikwete akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa wananchi wa Muleba baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji kwa Wilaya hiyo.
Picha na Ikulu

Mwananchi mwingine akitwishwa maji
Picha na Ikulu

Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba.
Picha na Ikulu

Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba
Picha na Ikulu

Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na Mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo
Picha na Ikulu

Mbunge wa Muleba akitoa maoni na kero za jimbo lake.
Picha na Ikulu

Waziri wa Uchukuzi Dkt Harrison Mwakyembe akiwahakikishia viongozi wa Muleba juu ya mipango ya serikali kuleta meli za abiria mpya mbili katika ziwa Victoria.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akipata maelezo ya mpango kabambe wa maji wilaya ya Muleba .
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akizindua mradi mkubwa wa maji wilayani Muleba.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akikata utepe kuzindua mradi wa maji.
Picha na Ikulu

Ngoma ya utamaduni ikimlaki Rais Kikwete alipowasili katika mkutano wa hadhara.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akisalimia wananchi
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiangalia mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Muleba.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akipozi na wafanyakazi wa kampuni ya uzalishaji mbegu ya Itente
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akifurahia ngoma
Picha na Ikulu

Umati wa wananchi Muleba ukimsikiliza Rais Kikwete
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Muleba.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akihutubia wana Muleba.
Picha na Ikulu

Sehemu ya umati mkutanoni.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiendelea kungea na wananchi.
Picha na Ikulu

Umati katika mkutano wa hadhara.
Picha na Ikulu

Umati katika mkutano wa hadhara.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akijiunga na waumini wa Muleba kusali swala ya Magharibi kabla ya kufuturu.
Picha na Ikulu

Dua ikisomwa baada ya futari aliyoandaa Rais Kikwete kwa wananchi wa Muleba.
Picha na Ikulu

Dua ikiombwa baada ya futari.
Picha na Ikulu

Dua ikiendelea.
Picha na Ikulu

Wananchi wa Muleba katika futari aliyoandaa Rais Kikwete wilayani Muleba.
Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger