Thursday, February 14, 2013

MAMA SALMA KIKWETE AMFARIJI WAZIRI HAWA GHASIA KWA KUFIWA NA BABA YAKE MZAZI

Thursday, February 14, 2013
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji leo jioni Waziri wa TAMISEMI Hawa Ghasia kufuatia msiba wa baba yake mzazi Abdulrahman Ghasia uliotokea jana Kijiji cha Naumbu mkoani Mtwara.
 
Baadhi ya waombolezaji waliofuatana na Mama Salma Kikwete wakimfariji Hawa Ghasia kwenye 
msiba huo
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa Baba Mzazi wa Waziri Hawa Ghasia, Marehemu Abdulrahman Ghasia leo wakati Mama Kikwete akipoenda kumpa pole waziri huyo
 
Chakula kikigawiwa kwa waombolezaji walkiohudhuria msiba huo. 
PICHA NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger