Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa maofisa waandamizi wa
Jeshi la Polisi ulifanyika katika ukumbi
wa Pius Msekwa mjini Dodoma
jana.
Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa Waandamizi wa Jeshi la
Polisi muda mfupi baada ya kufungua mkutano wao wa Mwaka uliofanyika katika
ukumbi wa Pius Msekwa Mjini Dodoma jana Jioni,Kauli Mbiu ya mkutano Huo ni”
Tujenge Uwezo wa Jamii na Polisi kukabiliana na Vurugu kwa Kuimarisha Utii wa
Sheria Bila Shuruti,”.Walioketi Mbele ni.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Dkt.Emmanuel Nchimbi,Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda na Naibu Spika Johna
Ndugai.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijadiliana jambo na Waziri
wa Mambo ya Ndani Dkt.Emmanuel Nchimbi pamoja na Inspekta Jenerali wa Jeshi la
Polisi Saidi Mwema muda mfupi baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa
Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Mjini Dodoma jana.
Picha na Freddy Maro
wa Ikulu
No comments:
Post a Comment