Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye afungua wa Semina kwa
Wajumbe wa HalmashauriKuu ya CCM Mkoani Kilimanjaro, leo Aprili 6, 2013, mjini Moshi
kwenye ukumbi wa VETA. (Picha na Bashir Mkoromo).
Wakuu wa Wilaya ya Kilimanjaro, wakitambulishwa kwenye Semina ya Wajumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Mkoani Kilimanjaro, Moshi kwenye ukumbi wa VETA.
Kutoka kushoto,Ndg.Charles (Siha), Novatus Makunga (Hai), Elinas Pallangyo (Rombo),
Shaibu Ndemanga (Mwanga), HELMAN Kapufi(Same) na Dk. Ibrahim Msengi (Moshi Mjini)
Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro,Ndg.Steven Kazidi akizungumza
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Kilimanjaro,wakimpongeza Katibu wa NEC,
Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye kwenye ukumbi wa VETA Mjini Moshi.
No comments:
Post a Comment