Sunday, May 26, 2013

CCM ELERAI WAKUFURU - UZINDUZI

Waziri Wassira akiongea wananchi waliofika kwenye kukamilisha uzinduzi wa kampeni za Udiwani Kata ya Elerai leo

Muasisi wa Chadema arudisha kadi mbele ya Wasira katika uzinduzi Elerai Ndg Muhidini Kisiwa
Mgombea udiwani wa CCM Ndg Imanueli Laiser akinadiwa na Ndg S.Wassira katika uzinduzi huo,leo.
Kadi hiyoooooooooooooo.......  Wassira Kiboko yao...
Mgombea wa CCM Ndg Imanuely akimtambulisha baba yake mzazi Mzee Thomasi Meliari katika viwanja vya Shule ya Msingi Elerai

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger