Friday, May 24, 2013

IJUMAA KATIKA BUNGE

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj79GHyrYLBlBuBBSmGcxwTKuP9JLNFnViGdAC4Za3iEyaep2yn7fuf1baEHmm-hqU_0gs8Qs1DG_j5-E71VUDMaYxbHPsH57qZEWzupNsgbQAElWh8Z_PVBfnvwzxVoC6eglnexWXfFbg/s1600/sitta.JPG
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mh Samuel Sitta akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2013/14 Bungeni mjini Dodoma.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghgRr3_zF-2wyYGetTaNBNXaZRg8Vhx5-NwuUzPpTdsjKYDC49o9b0uWhhgoJHZ-BCIzeO3Z_3OiwORzdEeXzQ5LXk_IG9Ddx5pNTHFD9PDVan2E5KRuLlhlluoHjkPDk3lKf2B7uwdLs/s1600/ngeleja.JPGWaziri wa Katiba na Sheria,Mh Mathias Chikawe (kushoto), Mbunge wa Sengerema,Mh William Ngeleja na Mbunge wa Peramio, Mh Jenister Mhagama wakifurahi jambo wakati wakitoka ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. Picha zote na Zawadi Msalla wa MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger