Sunday, May 26, 2013

Ujenzi wa Barabara kuanzia kijiji cha Mombo mpaka Hedaru Mkoani Tanga waendelea

CCM  WANACHAPA  KAZI  WAO  MAANDAMANO

  Ujenzi wa Barabara kuanzia Mji wa Mombo mpaka Hedaru Mkoani Tanga umekuwa ukiendelea kwa kasi tangu pame mradi huu ulipoanza.hali hii inakuna kutokana na eneo hili kuwa na bovu kwa kipindi kirefu,ila sasa ufumbuzi wake umepatikana na mambo yanakwenda vyema.
  


  Wakazi wa Mji wa Hedaru wakiangalia moja ya Katapila likiendelea na kazi ya upanuzi wa Barabara hiyo.


 Sehemu ya barabara hiyo ambayo ipo kwenye matengenezo makubwa hivi sasa.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger