Sunday, May 26, 2013

RAIS DK. JAKAYA M.KIKWETE AKUTANA NA MARAIS WASTAAFU KATIKA KIKAO CHA AMANI DRC CONGO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhngqdOtlmHMgspZ2B7gkCDzmVRWTu8PG4lz5LKS1XcScx_Y3noz3ugd5Z_wfLB-L4LrtNxg6xyEH0f7uoqTuXRSwRJczU-a4DxSlxZw3aPF1cA6Cpe-YGuKaMiHzIzo-osNpRSTGrFkDs/s1600/aa1.jpg
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis Ababa, Ethiopia, Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa wageni mashuhuri walioaliokwa kwenye sherehe hizo.
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgmStUizzQLhN1mRq7vKJnAzr4gzt1Pxrd-TFYRQ8T3Af2SV1XeYDRUlOqU6Npk3Be4i-pvw3OhowXajIvnb2Cu744rDeU1XQPZ0N3s-NKVkw7vcWlK-eR5YUrpNR-SG4IYZ_8CfwinKtw/s1600/aa3.jpg
 
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika makao makuu ya Umoja wa Afrika - Mei 26, 2016.
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wanahabari baada ya kuhudhuria Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika makao makuu ya Umoja wa Afrika- Mei 26, 2016.PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger