Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Simanjiro, Christopher
Ole Sendeka kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shellukindo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25,2013.
Mbunge wa Nkenge, Asumta Mshama (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shellukindo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Busega, Dr. Titus kamani, Bungeni Mjini Dodoma
Juni 25,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na madiwani kutoka jimbo la Chilolo mkoani Iringa kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
KWA HISANI YA MICHUZI
No comments:
Post a Comment