Ujenzi wa Barabara ya Kutoka Songea mjini mpaka Wilaya Namtumbo Mkoani Ruvuma.
Ujenzi wa Barabara ya Kutoka Songea mjini mpaka Wilaya Namtumbo Mkoani Ruvuma,umeonekana kwenda vizuri sana pamoja na kwamba ni sehemu kidogo tu imebakia ili imalizike kabisa.Barabara hiyo ambayo hapo awali ilikuwa ikipitika kwa shida sana (kwa mujibu ya wakazi wa miji ya barabara hiyo) hasa wakati wa kipindi cha Mvua,lakini sasa imekuwa ni tofauti kwani imeweza kuziunganisha Wilaya hiyo kwa urahisi.pichani ni baadhi ya Mafundi wa Kampuni ya Sogea wakiwa kazin
Moja ya Mitambo ya Kutengenezea Barabara,likiendelea na kazi yake.Photo by Michuzi Blog
Photo by Michuzi Blog
Photo by Michuzi Blog
Mafundi wakiwa kazini.Photo by Michuzi Blog
Jamvi la maana kama linavyoonekana pichani.Photo by Michuzi Blog
Haya ndo mambo yanayotakiwa, watu wanapiga kelele wanajibiwa kwa vitendo. Big Up Tanzania, Big Up CCM, Big Up Dr. Jakaya Kikwete!
ReplyDeleteHongera Jakaya !!!
Delete