Rais Kikwete awatakia Taifa Stars kila la heri katika mchezo wao wa marudiano na timu ya Taifa ya Uganda.
Kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars) kikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Entebe nchini Uganda Julai 25,2013,tayari kwa mechi ya marudiano na timu ya Taifa ya nchi hiyo itakayochezwa mwishoni mwa wiki hii.
Julai 25,2013
Julai 25,2013
Kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars) kikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Entebe nchini Uganda Julai 25,2013,tayari kwa mechi ya marudiano na timu ya Taifa ya nchi hiyo itakayochezwa mwishoni mwa wiki hii.
Julai 25,2013
Julai 25,2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment