Thursday, July 11, 2013

MWENDELEZO WA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI 2010

WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI

AKIKAGUA BAADHI YA MIRADI MBALIMBALI

YA UJENZI WA BARABARA JIJINI

DAR ES SALAAM , INAYOTEKELEZWA CHINI

YA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI

MYONGE MNYONGENI, HAKI YAKE MPENI ! HONGERA DK. JAKAYA MRISHO KIKWETE Muoenekano wa ujenzi wa mradi wa daraja la Kigamboni katika awamu ya kwanza ambalo umekamilika kwa asilimia 47, katika mradi huo ujenzi huo utagharimu sh.Bilioni 214,kati ya fedha hizo asilimia 60 zimetolewa na Shirika la Hifadhi ya Mfuko wa Jamii (NSSF). Picha hii imepigwa jana wakati Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli hayupo pichani wakati alipofanya ziara ya siku moja ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi ya Dar es Salaam ikiwemo ya ujenzi wa daraji hili.
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha Muonekano wa ujenzi unaoendelea wa ujenzi wa barabara ya Davis Corner- Vituka – Jet Corner
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha Ujenzi wa Daraja katika maeneo ya tegeta wilaya ya kinondoni ukiendelea
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha Sehemu ya mwonekano wa kituo cha mabasi ya mwendo kasi eneo la ferry Kigamboni
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha Baadhi ya ujenzi wa vituo vya mradi wa Mabasi ya mwendo kasi (DART) barabara ya eneo la Ubungo,Mwembechai , Jangwani na Kivukoni vikiendelea.
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha Sehemu ya muonekano wa kituo cha mabasi ya mwendo kasi eneo la Kigamboni.
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha Waziri wa Ujenzi Dkt, John Magufuli, (mwenye kofia ya pama) akiongea na Diwani wa kata ya Mwenge Dkt. Julian Bujugo(aliemshika begani) wakati ya ziara yake .
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha Waziri Dk. Magufuli wakiwa kwenye picha ya pamoja na mafundi baada ya ukaguzi wa miradi inayoendelea nchini.
Posted by Katibu Mwenezi na Siasa CCM (w) Arusha

No comments:

Post a Comment

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger