Powered by Blogger.
Trending Template
Latest Post
Thursday, July 25, 2013
Timu ya Taifa (Taifa Stars) ilipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Entebe nchini Uganda Julai 25,2013
Rais Kikwete awatakia Taifa Stars kila la heri katika mchezo wao wa marudiano na timu ya Taifa ya Uganda.



Kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars) kikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Entebe nchini Uganda Julai 25,2013,tayari kwa mechi ya marudiano na timu ya Taifa ya nchi hiyo itakayochezwa mwishoni mwa wiki hii.
Julai 25,2013
Julai 25,2013

Kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars) kikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Entebe nchini Uganda Julai 25,2013,tayari kwa mechi ya marudiano na timu ya Taifa ya nchi hiyo itakayochezwa mwishoni mwa wiki hii.
Julai 25,2013
Julai 25,2013

Kikosi cha Taifa Stars kikiwa uwanja wa ndege wa Mwanza kikisubiri usafiri kilikutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye naye alitua hapo kwa muda akielekea Bukoba kwa ziara ya siku sita mkoani Kagera
Julai 25,2013
Julai 25,2013


Julai 25,2013
Labels:
HABARI ZA MICHEZO
Mkoani Kagera Waadhimisha Kumbukumbu ya Mashujaa katika Kambi ya Jeshi ya Kaboya, Bukoba, Julai 25, 2013.
RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA SIKU YA MASHUJAA KAMBI YA KABOYA, BUKOBA, MKOANI KAGERA.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera Julai 25, 2013.
PICHA NA IKULU

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mkuki katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera Julai 25, 2013
PICHA NA IKULU



Viongozi wa dini wakisoma dua kwenye maadhimisho hayo. Pembeni ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Jaji Mkuu Mheshimiwa Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Othman Makungu
PICHA NA IKULU

Rais Jakaya Kikwete akitembelea makaburi ya mashujaa waliopoteza maisha wakati wa vita na Nduli Iddi Amini wa Uganda.Katika maadhimisho haya alikuwepo pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Jaji Mkuu Mheshimiwa Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Othman Makungu.
PICHA NA IKULU

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Wazee waliopigana vita miaka ya zamani wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera Julai 25, 2013.
PICHA NA IKULU

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri wa Ulinzi,Mh. Shamsi Vuai Nahodha wakati walipokutana na kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera Julai 25, 2013.Kulia ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na wa pili kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi,Jenerali Davis Mwamunyange.
PICHA NA IKULU
Labels:
HABARI ZA KITAIFA
Jerry Silaa Mgeni Rasmi katika Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi
Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini umeanza July 25, 2013 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Washauri wa Madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Richard Kasesela akizungumza wakati akiwasilisha mada yake ya namna ya kupata leseni ya uwekezaji kwenye jamii hapa nchini.wakati wa Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Dar es Salaam.Katika Mada yake hiyo,Pia Kasesela amesisitiza umuhimu wa Wawekezaji kuwa karibu na Jamii inayowazunguka ikiwa ni pamoja na kujenga makazi ya kudumu katika maeneo ya migodi yao.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .

Mgeni Rasmi katika Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini,Jerry Silaa akizungumza machache wakati wa kufungua rasmi mkutano huo leo,kwenye Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .

Mwenyekiti wa Bodi ya Washauri wa Madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Richard Kasesela akiendelea kuwasilisha mada yake ya namna ya kupata leseni ya kuweza uwekezaji kwenye jamii hapa nchini.wakati wa Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Dar es Salaam.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .

MC ya Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini,Taji Liundi akizungumza jambo wakati wa mkutano huo.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .

Mkurugenzi wa Mtendani wa Kampuni ya Moil,Alkarim Hirani akiuliza swali juu ya swala la uwekezaji wakati wa Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini unaoendelea leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Dar es Salaam.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .

Mkurugenzi Mtendani wa Kampuni ya Proactive Solutions,Nesrory Phoye akiuliza swali.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .


Maswali yakiendelea kwa mada mbali mbali zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye mkutano huo.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .

Mhadhiri na Kiongozi wa Wanafunzi wa Kituo cha Mafunzo ya Takwimu Afrika Mashariki,Dkt. Camillus Kassala akiwasilisha mada yake iliyokuwa inahusu uwezekano wa Serikali za Mitaa zinavyoweza kushiriki kwenye Miradi Mikubwa wakati wa Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini unaoendelea leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Dar es Salaam.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013 .














Wadau mbali mbali wakifatilia kwa makini mada zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye Mkutano wa Wasambazaji wa Mafuta na Gesi hapa nchini kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Dar es Salaam.
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013
Picha na Othman Michuzi at Thursday, July 25, 2013
Labels:
HABARI ZA KITAIFA
ZIARA YA BABA MTAKATIFU FRANCIS NCHINI BRAZIL KATIKA PICHA
Pope Francis addressed social tensions that have fueled protests across Brazil during a visit to an impoverished slum Thursday, calling on young people to rise above the country's endemic corruption.
Visiting Brazilian Slum, Francis Targets Social Tensions Underlying Recent Protests.
Tasso Marcelo/AFP/Getty Images
Tasso Marcelo/AFP/Getty Images
Pope Francis walked with the Archbishop of Rio de Janeiro Orani Joao Tempesta around Varghina, a neighborhood in northern Riothat iss part of a super-violent region known by locals as the Gaza Strip.
Tasso Marcelo/AFP/Getty Images
Tasso Marcelo/AFP/Getty Images
Pilgrims from Argentina cheered during the visit to the Varginha slum. It was one of the highlights of Francis' weeklong trip to Brazil, his first as pope and one seemingly tailor-made for the first pontiff from the Americas.
Domenico Stinellis/Associated Press
Domenico Stinellis/Associated Press
Police stood guard as they waited for the arrival of Francis to the Varginha slum.
Yasuyoshi Chiba/AFP/Getty Images
Yasuyoshi Chiba/AFP/Getty Images
In remarks to a crowd of several thousand Varghina residents gathered in a muddy soccer field, Francis acknowledged that young people in particular have a sensitivity toward injustice. 'Never yield to discouragement,don'tt lose trust,don'tt allow your hope to be extinguished. Situations can change, people can change.'
Yasuyoshi Chiba/AFP/Getty Images
Yasuyoshi Chiba/AFP/Getty Images
Despite heavy security and a cold rain, Francis waded into the cheering crowds and hugged and kissed residents young and old before blessing the altar of the shoe box of a church that serves the community.
Yasuyoshi Chiba/AFP/Getty Images
Yasuyoshi Chiba/AFP/Getty Images
Also Thursday, Francis blessed the Olympic flag ahead of the Rio 2016 Summer Games, at the City Palace in Rio.
Gabriel Bouys/AFP/Getty Images
Gabriel Bouys/AFP/Getty Images
On Wenesday, Francis kissed the 15-inch-tall statue of the Virgin of Aparecida, the 'Black Mary,' before celebrating a public Mass.
Associated Press
Associated Press
Members of the clergy listened to Francis, center right. He urged Catholics to resist the 'ephemeral idols' of money, power and pleasure.
Felipe Dana/Associated Press
Felipe Dana/Associated Press
Pilgrims waited in the rain. The shrine has great meaning to this pontiff, who has entrusted his papacy to the Virgin Mary and, like many Catholics in Latin America, places great importance in Marian devotion.
Victor R. Caivano/Associated Press
Victor R. Caivano/Associated Press
On Monday, Pope Francis greeted a crowd in Rio de Janeiro. He is in Brazil for World Youth Day, a church event that brings together young Catholics from around the world roughly every three years.
Reuters
Reuters
Riot police fired rubber bullets Monday at demonstrators during clashes near Rio's Guanabara government palace, where the pope was officially welcomed. Several protests were scheduled throughout the day, including an evening one by hacker-activist group Anonymous.
Pilar Olivares/Reuters
Pilar Olivares/Reuters
The crowd of faithful waived as Francis rode by aboard his popemobile in downtown Rio.
Ricardo Moraes/Reuters
Ricardo Moraes/Reuters
Demonstrators gathered in the Machado square, near Rio's Guanabara palace.
Giuseppe Bizzarri/Zuma Press
Giuseppe Bizzarri/Zuma Press
Pope Francis sat with Brazil President Dilma Rousseff after a welcoming ceremony in Guanabara Palace.
Beth Santos-Rio City Hall via Reuters
Beth Santos-Rio City Hall via Reuters
Masked protesters walked arm in arm as they shouted antigovernment slogans outside Guanabara Palace.
Felipe Dana/Associated Press
Felipe Dana/Associated Press
A photographer received first aid after being injured during clashes between Police and antigovernment protesters outside the government palace.
Sergio Moraes/Reuters
Sergio Moraes/Reuters
Francis held a baby during the a parade through downtown Rio de Janeiro.
Joao Pedro Durlo/Fotoarena via Zuma Press
Joao Pedro Durlo/Fotoarena via Zuma Press
Pope Francis waved to onlookers as he arrived at an airport in Rio de Janeiro Monday.
Pilar Olivares/Reuters
Pilar Olivares/Reuters
Ms. Rousseff greeted Francis, who arrives in Brazil amid tense times. Protests have been held across the country against the government's plans to raise public-transportation tariffs and to spend billions to host events, such as the 2014 World Cup.
Pilar Olivares/Reuters
Pilar Olivares/Reuters
People awaited Francis' arrival. Millions are expected to see him for this year's World Youth Day festival in Brazil.
Gabriel Bouys/Agence France-Presse/Getty Images
Gabriel Bouys/Agence France-Presse/Getty Images
Catholics held Chilean, Venezuelan and Colombian flags as they waited to catch a glimpse of the pope in an open-top vehicle—a change from his predecessors' the bulletproof 'popemobile.'
Gabriel Bouys/Agence France-Presse/Getty Images
Gabriel Bouys/Agence France-Presse/Getty Images
Francis walked with Ms. Rousseff across the tarmac upon his arrival at the airport.
Jorge Saenz/Associated Press
Jorge Saenz/Associated Press
Labels:
HABARI ZA KIMATAIFA
Subscribe to:
Posts (Atom)
Label 1
Label 1
http://way2bloggertemplates.com/
==========================================================================
Judul/Heading
-------------------- Put your code here -------------------------
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
More Article »
Judul/Heading
-------------------- Put your code here -------------------------
More Article »
Title
-------------------- Put your code here -------------------------
More Article »
SUBSCRIBE ME
SIDE TABBER
Recent Post
Popular post
-
Boeing 777 crashes at San Francisco International Airport By Greg Botelho and Mike M. Ahlers, CNN A photo shared on Twitter by one of...
-
WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA MZEE JOHN CHACHA na BIBI NGEWA NEGA –Juni 19,2013 Viongozi wa CCM (w) Ar. MAZISHI YA MZEE...
-
Heavy rainfall flooded the Himalayan regions of India and Nepal, killing more than 600 people and forcing thousands to flee their homes. ...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Februari 14, 2013 ameungana na mamia kwa mamia...
-
U.S. President Barack Obama paid tribute to anti-apartheid hero Nelson Mandela as he flew to South Africa on Friday but played down expect...
-
Morsy under house arrest, Muslim Brotherhood spokesman says Egypt's top military leader announces Wednesday night that President ...
-
Obama in Africa: the view from Senegal- Senegal Rejects Obama's Push for Gay Rights. Senegal Wakataa sera za USHOGA. U.S. Pres...
-
Nelson Mandela's health 'improving' on 95th birthday - video Well-wishers in South Africa gather to wish Nelson Mandela happy...
-
Mashahidi 2 wajiondoka kwa kesi ya Kenyatta Kiongozi wa mashtaka katika mahakama ya kimataifa ya ICC Fatou Bensouda, amesema kuwa mashahi...
-
WANACHAMA wa chama cha mapinduzi Kata ya mipingo Kijiji cha Matapwa wilaya Lindi Jimbo la mchinga wakicheza kwa furaha baada kuwapokea wa...
Labels
- CCM (3)
- HABARI ZA KIMATAIFA (23)
- HABARI ZA KITAIFA (58)
- HABARI ZA MICHEZO (10)
- KITAIFA (1)
Trending 2
LinkWithin 1
Test Footer
Test Footer 1
HABARI ZA KITAIFA
Test Footer 2
Support :
Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved