Powered by Blogger.

Trending Template

Latest Post

Sunday, August 17, 2014

Serena Williams edges Wozniacki to reach final



Serena Williams waves to the crowd after defeating Caroline Wozniacki, from Denmark, 2-6, 6-2, 6-4 in a semifinal match at the Western & Southern Open tennis tournament, Saturday, Aug. 16, 2014, in Mason, Ohio. (AP Photo/David Kohl)

Friday, October 11, 2013

Mwanademokrasia wa kweli hahitaji vurugu

http://www.nationsonline.org/maps/political_world_map3000.jpg

KATIKA jamii yeyote iliyostaarabika, kutofautiana kimawazo ni jambo lililo la afya katika maendeleo yake ;na ndio msingi wa kupata wazo bora na linaloweza kuboreshwa katika ushindani wa hoja.

Ni tofauti hizo za mawazo kwa wastaarabu, hujenga maslahi na vikundi maslahi katika jamii na hata katika mifumo ya siasa na vyama vya siasa duniani kote.

Ndio maana katika nchi yenye demokrasia, ikiwemo Tanzania, uongozi hauna budi kusikiliza sauti na mawazo mbadala, ili kupata wazo bora linalokubalika la lenye maslahi kwa wote.

Kwa hili, hatuna budi kuipongeza Serikali na hasa Rais Jakaya Kikwete binafsi kwa kuwa kiongozi mwanademokrasia, aliye tayari kusikiliza mawazo ya pande zote, hata kwa wanaomzushia.

Mwishoni mwa wiki iliyopita katika hotuba ya kila mwisho wa mwezi, Rais Kikwete aliendelea kuonesha alivyo mwanademokrasia wa kweli, pale alipowaambia Kambi ya Upinzani, kuwa maoni yao kuhusu Muswada wa Sheria ya Katiba, yanazungumzika.

Aliwaambia kwamba hata baadhi ya maoni hayo, yangeweza kukubalika kama wabunge wake wangekuwepo bungeni, ambako ndio chombo cha kuwasilisha mawazo mbadala na kujenga wazo bora.

Alisema bahati mbaya hawakuwepo, hivyo hapakuwepo mtu wa kusema mawazo yao na baada ya kupoteza fursa yao halali, kutaka kupata ufumbuzi nje ya Bunge ni jambo lisilowezekana. Alisisitiza kuwa masuala yanayohusu Bunge, hujadiliwa na kuamuliwa bungeni na si vinginevyo.

Pamoja na kambi hiyo iliyoundwa na NCCR-Mageuzi, CUF na Chadema, kupoteza fursa halali ya kutoa maoni yao bungeni, ambayo hutumiwa na nchi zote zilizokomaa kidemokrasia, Rais Kikwete amewapa fursa nyingine ya kukutana nao kati ya Jumapili ya Oktoba 13 mwaka huu, ama Jumanne ya Oktoba 15.

Uungwana huu wa Rais Kikwete kwa kweli ni wa kuungwa mkono, lakini pia unapaswa kuigwa na wanasiasa na vyama vyote vya siasa, kama kweli vinataka kushika dola na kuongoza taifa ambalo msingi na uimara wake ni umoja, mshikamano na undugu unaostawi katika jamii yenye utii wa sheria.

Tunasema hivyo kwa kuwa kila mmoja ni shahidi kuwa vyama hivyo havijakomaa kisiasa, kiasi cha kupewa dola, ambayo kuiongoza lazima watu wake wawe na umoja, mshikamano na udugu utakaostawishwa na uongozi unaoamini katika utii wa sheria.

Hakuna ambaye hakusikia viongozi hao, ambao baadhi yao wamewahi kuomba kura ili waongoze taifa hili, wakitamka hadharani kuwa watahamasisha Watanzania wasitii sheria na kubatiza Oktoba 10 mwaka huu kuwa siku ya kutotii sheria.

Tumejiuliza hivi kweli kiongozi anayetaka kuongoza taifa hili, kama ameiva na kukomaa kisiasa, anaweza kutangaza siku ya kutotii sheria?

Siku ambayo haina tofauti na kuhamisha watu kuvunja na kuiba mali za walipa kodi wanaowapa viongozi hao ruzuku kila mwezi kupitia vyama vyao?

Tumesikitika kuona viongozi hao wa vyama vinavyoungwa mkono na wananchi, wakihamasisha wananchi hao hao wasitii sheria, lakini tumefarijika, kusikia wamekubali busara za Rais Kikwete za kukaa meza moja na kumaliza tofauti zao.

Tunashauri kukitokea tofauti tena, ambazo tuna hakika zitatokea katika mambo mbalimbali tu kwa kuwa ndivyo jamii iliyostaarabika ilivyo, basi tuepuke kutoa kauli za namna hiyo, za kushawishi wananchi wasitii sheria, kwa kuwa ni kauli za jabu ambazo hakuna mwanademokrasia makini anayeweza kuziunga mkono.

Thursday, October 10, 2013

UTEKELEZAJI WA AGIZO LA WAZIRI MAGUFULI

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgCkG6XMKKLUxGGGs25VhJ7-CXg7IU1BnZgySA5zqLQbRmKeVasLrzBpRWADkbGScUgAiyhjxjgA4K_3KwTmQq2-mqYG7dpfjbhJiGsMHXo72B5NoyvqLkFd1OazcLVwP1y2vrWog2KxNrQ/s1600/Picha+1.jpg
 Magari yakirekebisha uzito wa  mizigo baada ya kupimwa katika Kituo cha Mizani cha Mikese Mkoani Morogoro
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixdrtIvVKLLfVczMA62tZLzP6xE8MqbV2DKd38tJd5vs3J1kfR1wbhow4D5zwNIgG1PMwCSJlofJ98S-GwrNGgy1pqOOZTJ3O0CiSunRDAz5ruP18SPvQQ_HXtzTQT-mzUhq7YOC9lw-hI/s1600/Picha+2.jpgMagari yakiendelea kupimwa katika Kituo cha Mizani cha Kibaha mkoani Pwani
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6ZJieHBuxXMKBRv7b-hJAI36EDM8pDX6v0K0MBiuYUKWYorpzqknKIAR1RfW8ADY4_cOceaxHZBitLE28jJzHtvyJX3GRYz06uTFKRUhhfN0CUE8WUeNNgcwSNDY_GfMMdHufsrD-UANh/s1600/Picha+3.jpg Gari likiondoka baada ya kupimwa katika mzani wa barabarani likiwa limezingatia ya uzito uliowekwa kisheria.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJ3Nm1P9S9fNU8d5X_lexnWCy0oBBUDiXCfpRJ9xq6V_TzpYP26CDoAuqygPTS9QdXdpFE5K3qiqD9Er3SP8qAnBu2aat9pWpCI6driNth6j6gn_aS6Q0uPqXb2-b8z3K-M4yR0460ZtXH/s1600/Picha+4.jpg Upimaji ukiendelea Kibaha
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLtPpsXaQcrZuPN24lWpEDMfG9POb0zXyuHP_p1vLFGrDJVrEueyQGcp9FEBkw9gdepArsZy_CW8NpxZ5NEG8qkaODOqXUw7VVIWEgUFzgEpkivTNZMfAfsmeY9tLABEjR7i_x3lkPB80C/s1600/Picha+5.jpg Barabara ikiwa imebonyea kutokana na uharibifu unaotokana na magari yaliyozidisha uzito zaidi ya viwango vilivyowekwa kisheria..

Friday, July 26, 2013

Egypt suffers night of deadly violence

At least 100 killed and more than 1000 injured as hundreds of thousands come out for rival rallies across the country.


Supporters of the Muslim Brotherhood and Egypt's ousted president Mohamed Morsi take part in a demonstration in the Mediterranean city of Alexandria on July 26, 2013.
STR/AFP/Getty Images

Supporters of ousted President Mohamed Morsi demonstrate in Cairo .
July 26, 2013

Egyptian soldiers stand guard atop an armored personnel vehicle on a bridge that leads to Tahrir Square in Cairo, Egypt, Friday, July 26, 2013.
AP Photo/Hassan Ammar

An Egyption woman and supporter of deposed president Mohamed Morsi is evacuated by volunteers after she fainted during Friday prayers in Cairo on July 26, 2013 as Morsi supporters continue to hold a sit in outside Rabaa al-Adawiya mosque.
FAYEZ NURELDINE/AFP/Getty Images

Maabara ya kisasa Bagamoyo : Kifaa tiba muhimu kwa Tanzania, Afrika.

Kukamilika kwa maabara hiyo nchini kutachochea ugunduzi na kujenga jukwaa la ushirikiano wa pamoja katika kukabiliana na maradhi ya kuambukiza na kutengeneza mtandao wa taarifa zitakazosaidia kuhuisha udhibiti wa maradhi mbalimbali kwa manufaa ya jamii”.



Maabara ni sehemu muhimu kwa tiba yoyote ile Bagamoyo

- Kitabibu inaitwa maabara daraja la tatu au kwa kitalaam ‘Bio-safety Level 3 (BSL3)’ ni moja kati ya maabara ya kisasa kabisa zaidi katika uchunguzi wa bakteria na virusi wa aina mbalimbali ambayo Tanzania imepata bahati ya kuwa nayo baada ya uzinduzi wa hivi karibuni.

Maabara hiyo imepatikana kwa ushirikiano baina ya serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wahisani wa Shirika la Wahisani wa Maendeleo la Italia, Taasisi ya Kupambana na Maradhi ya Kuambukiza ya Italia (INM) ‘Spallanzani’ na taasisi ya Italian National Institute for Infectious Diseases INMI “Spallanzani”. 

 Serikali na wahisani hao pamoja na Kituo cha Utafiti cha Ifakara (IHI) wamefanikisha kuwepo kwa maabara hiyo ambayo imegharimu zaidi ya Sh1.2 bilioni na kulingana na tafiti mbalimbali maabara kama hiyo ni ya tatu kwa Afrika

Nchi zingine ambazo zinatajwa kuwa na maabara kama hiyo ni pamoja Nigeria iliyozindulia 2010 na Afrikas Kusini iliyozinduliwa 2011. Kulingana na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuwepo kwa maabara hiyo nchini kunafungua ukurasa mpya katika sekta ya afya kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

Dk Rashid anasema wakati wote serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa kusafirisha sampuli za kibaiolojia nje ya nchi kwa ajili ya uchunguzi wa kimaabara ili kubaini aina ya ugonjwa usiofahamika ambao unakuwa umeibuka katika eneo fulani fulani sasa hali itakuwa tofauti.

“Ni kifaa tiba muhimu ambacho nchi imepata katika historia ya tiba nchini na tunaamini kuwa itasaidia udadisi, utafiti, uchunguzi na hatimaye ugunduzi wa maradhi mbalimbali kabla ya kujua tiba stahiki” anasema.

Mhe Anne Makinda achaguliwa kuwa Rais a CPA Afrika

Spika wa Bunge wa Bunge la Tanzania,Mhe Anne Makinda achaguliwa kuwa Rais a CPA Afrika.

Mkutano wa CPA Barani Afrika wampongeza Spika Makinda kwa siku yake ya kuzaliwa.


Spika wa Bunge wa Bunge la Tanzania,Mhe Anne Makinda akihutubia kushukuru wajumbe Mkutano wa CPA Barani Afrika kwa kumchagua kuwa Rais wa CPA Afrika.
Picha na Saidi Yakubu.

Mhe Spika Anne Makinda akipongezwa na Mwenyekiti wa CPA na Spika wa Bunge la Gauteng Mhe.Lindiwe Maseko,kwa kuchaguliwa na Mkutano huo wa 44 wa CPA kuwa Rais wa Afrika na Mwenyeji wa Mkutano wa 45 wa CPA utakaofanyika Arusha Tanzanis Julai mwakani.
Picha na Saidi Yakubu.

Picha ya pamoja ta Uongozi wa CPA Kanda ya Afrika, kutoka kushoto ni Mhe.Request Muntanga(Mweka Hazina),Mhe Asser Kapere ambae ni Rais aliemaliza muda wake na Spika wa Namibia,Mhe Lindiwe Maseko ambae ni Mwenyekiti na Spika wa Gauteng,Kutoka kulia ni Mr Demetrius Mgalami Naibu Katibu wa Kanda ya Afrika, Mhe Lucia Witbooi wa Namibia na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Afrika, Mhe Spika Sephiri Motanyane wa Lesotho na Mhe Spika Makinda wa Tanzania na Rais wa Afrika wa CPA.
Picha na Saidi Yakubu.

RAIS KIKWETE AWAONYA WANAOTAKA KUICHEZEA TANZANIA.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA SIKU YA MASHUJAA KAMBI YA KABOYA, BUKOBA, MKOANI KAGERA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera Julai 25, 2013.


Barcelona wasema Cesc Fabregas HAUZWI !

NEW Barcelona boss Tata Martino has today told Manchester United: We will not sell you Cesc Fabregas.

Tata blocks Fab move.


    'TRUE GREAT' ... Barca have warned United off Cesc

NEW Barcelona boss Tata Martino has today told Manchester United: We will not sell you Cesc Fabregas. 

 

David Moyes was desperately hoping to make Fabregas his first major signing since succeeding Alex Ferguson. 

But after turning down two bids for him in the last fortnight the Catalan giants effectively told United they are wasting their time. 

Martino said: “Evidently I’m not going to talk about the financial interests of the club but if the club have turned down United’s offers two times in this case I add a third rejection. 

“So we are going to keep him here.” 

Barca vice-president Josep Maria Bartomeu then echoed the sentiments of Martino. 

And he added that technical director Andoni Zubizaretta had made it clear from the moment United’s interest surfaced that Fabregas would stay. 

Bartomeu said: “Whatever offer United make, however big, we will say no. Cesc Fabregas will stay a Barcelona player.

“That United shows interest in Cesc Fabregas is normal. He is a truly great player. It doesn’t annoy us. 

"It gives us pride to have such a good player in our team that United want him because they are a great club. 

“But whatever offer arrives from them we are not going to sell Cesc Fabregas. We are counting on him. 

“I think Tata Martino was clear that he is counting on him as a player and Andoni Zubizaretta from the first day when we asked him about it saying there was an offer he replied Cesc is not for sale. 
“We are very happy with him.”

RAIS KIKWETE AKIWA WILAYANI MULEBA

Rais Jakaya Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji Wilayani Muleba pia atembelea kuona mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Wilayani Muleba.


Rais Kikwete akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa wananchi wa Muleba baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji kwa Wilaya hiyo.
Picha na Ikulu

Mwananchi mwingine akitwishwa maji
Picha na Ikulu

Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba.
Picha na Ikulu

Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba
Picha na Ikulu

Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na Mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo
Picha na Ikulu

Mbunge wa Muleba akitoa maoni na kero za jimbo lake.
Picha na Ikulu

Waziri wa Uchukuzi Dkt Harrison Mwakyembe akiwahakikishia viongozi wa Muleba juu ya mipango ya serikali kuleta meli za abiria mpya mbili katika ziwa Victoria.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akipata maelezo ya mpango kabambe wa maji wilaya ya Muleba .
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akizindua mradi mkubwa wa maji wilayani Muleba.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akikata utepe kuzindua mradi wa maji.
Picha na Ikulu

Ngoma ya utamaduni ikimlaki Rais Kikwete alipowasili katika mkutano wa hadhara.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akisalimia wananchi
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiangalia mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Muleba.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akipozi na wafanyakazi wa kampuni ya uzalishaji mbegu ya Itente
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akifurahia ngoma
Picha na Ikulu

Umati wa wananchi Muleba ukimsikiliza Rais Kikwete
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Muleba.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akihutubia wana Muleba.
Picha na Ikulu

Sehemu ya umati mkutanoni.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akiendelea kungea na wananchi.
Picha na Ikulu

Umati katika mkutano wa hadhara.
Picha na Ikulu

Umati katika mkutano wa hadhara.
Picha na Ikulu

Rais Kikwete akijiunga na waumini wa Muleba kusali swala ya Magharibi kabla ya kufuturu.
Picha na Ikulu

Dua ikisomwa baada ya futari aliyoandaa Rais Kikwete kwa wananchi wa Muleba.
Picha na Ikulu

Dua ikiombwa baada ya futari.
Picha na Ikulu

Dua ikiendelea.
Picha na Ikulu

Wananchi wa Muleba katika futari aliyoandaa Rais Kikwete wilayani Muleba.
Picha na Ikulu

HALMASHAURI ZA MIJI,MANISPAA NA MAJIJI ZATAKIWA KUTOA KIPAUMBELE MIRADI YA MAJI

Naibu waziri wa Maji Dk Binilith Mahenge azungumza na watendaji wa maji pamoja na Viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kilimanjaro katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya mjini Moshi.


Mbunge wa jimbo la Moshi vijijini Dk Cyril Chami akichangia jambo katika kikao hicho.
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi

Naibu waziri wa maji Dk Binilith Mahenge(aliyesimama) akizungumza na watendaji wa maji pamoja na viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Moshi.waliokaa kutoka shoto ni Suleiman Mombo(RSO),Mkuu wa wilaya ya Moshi Dk Ibrahim Msengi na wa mwisho kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz.
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi

Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi (MUWSA) Cyprian Luhemeja akichangia jambo katika kikao cha naibu waziri wa maji Dk Mahenge na watendaji wa idara ya maji.
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi

Mhandisi wa maji wilaya ya Moshi vijijini Brown Lyimo akitoa maelezo mbele ya naibu waziri wa maji Dk Mahenge alipotembelea mradi wa maji wa Mbokomu wilaya ya Moshi vijiji
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi

Miongoni mwa mambo ambayo yalionekana kumkera Naibu Waziri ni pamoja na upotevu huu wa maji kama inavyoonekana hapa huku wahusika wakiweka mti ili kuzuia maji yasitoke badala ya koki.Hapa Naibu Waziri akimuuliza Mhandisi wa Wilaya kuhusu tatizo hilo.
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi

SERIKALI imetaka mamlaka za maji safi na usafi wa mazingira nchini sanjari na halmashauri za miji,manispaa na majiji kuipa kipaumbele miradi ya maji katika maeneo ili kupunguza uwezekano wa kuwapo kwa maradhi ya milipuko yanayochangiwa na ukosefu wa maji safi na salama.

Naibu Waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi wa wilaya ya Moshi wakiwamo wakurugenzi wa halmashauri za Manispaa ya Moshi na Moshi vijijini wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani Kilimanjaro kukagua utekelezaji wa miradi ya maji.

Amesema kuna umuhimu kwa mamlaka na miji hiyo kutenga sehemu ya fedha katika bajeti zao kila mwaka kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji huku wizara ikiendelea kutoa misaada katika miradi mikubwa na masuala ya kiufundi.

“Lazima mtenge fedha za miradi ya maji kila mwaka,msipofanya hivyo, sisi tunajua hilo siyo jambo la kipaumbele, lakini kumbukeni upatikanaji wa maji unawasaidia wananchi kupunguza fedha ambazo wangetumia kwa matibabu baada ya kuugua matumbo na watazifanyia shughuli za kiuchumi”alisema.

Kuhusu wingi wa maji Naibu Waziri alipongeza juhudi za mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA) kwa kuvitunza vyanzo vya maji Nsere, uchimbaji kisima cha eneo la Longuo, tanki la kuhifadhi maji Kilimanjaro na CCP ambavyo kuna miti yenye kuhifadhi maji.

Akizungumzia mradi wa vijiji 10 unaofadhiliwa na benki ya dunia, alitaka kila halmashauri kuhakikisha unatekelezeka kwa wakati ili kupunguza idadi ya watu wanaokosa maji.

Hata hivyo alikiri kuwapo kwa changamoto ya mgawo wa vijiji 10 hata kwa halmashauri ambazo ni kubwa zenye vijiji zaidi ya 100 ambazo nazo zinatakiwa kuainisha vijiji 10 jambo ambalo alidai linatakiwa kutazamwa upya.

“Lazima tuangalie upya vigezo vya ugawaji wa mafungu ya fedha kwa kuzingatia ukubwa wa Wilaya kwani sasa inazingatia idadi ya watu,aina ya teknolojia ya mradi wa maji,maeneo mengine teknolojia mtiririko ambayo ni gharama sana na mengine ni ya visima au mabwawa”alisema.

Label 1

Label 1

HABARI ZA MICHEZO

HABARI ZA MICHEZO

SIASA

SIASA

HABARI ZA KIMATAIFA

HABARI ZA KIMATAIFA

HABARI ZA MICHEZO

HABARI ZA MICHEZO

CCM

CCM

KITAIFA

Habari nyinginezo »

Label 5

Label 5

Video Category

 
Support : Katibu Mwenezi CCM (w) Arusha | Jasper Kishumbua | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali Blog - Arusha - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper Kishumbua
Proudly powered by Blogger